IT HAS BEEN SO FANTASTIC TO SHISHI SHILOLE FANS DURING THE SHOW OF THE WEEKEND SHOW ON SATURDAY IN KIJIJI BEACH HOTEL KIGAMBON.
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
IT HAS BEEN SO FANTASTIC TO SHISHI SHILOLE FANS DURING THE SHOW OF THE WEEKEND SHOW ON SATURDAY IN KIJIJI BEACH HOTEL KIGAMBON. IN THE SHOW, FANS HAD HAD AN OPPORTUNITY TO TOUGH SHILOLES WHIST AS SHE DANCED.
Msanii wa muziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amewatoa udenda wakutosha
mashabiki wa muziki wake hivi karibuni baada ya kuwapa nafasi ya kushika
kiono chake.
prima
prima
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Say My Name’ amefanya tukio hilo katika show yake iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika hotel ya Kijiji Beach Kigamboni.
Katika picha mbalimbali ambazo zimesambaa katika mitandao ya kijamii zinamuonyesha muimbaji huyo akishikwashikwa kiuno na mashabiki hao huku wakionyesha kufurahiwa na kitendo hicho.
Pia katika show hiyo muimbaji huyo aliambatana na msanii wake ‘Gaucho’.
Hata hivyo kitendo hicho kimewakasirisha baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii huku kila mmoja akiongea lake.
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼
0 comments: