SHILOLE LAMENTS ON HARASSMENT AT KIGAMBONI BRIDGE, HER INSTAGRAM ACCOUNT POTRAYS THAT AS IT HAPPENED. TO KNOW HOW SHE WAS HARASSED AND MANY MORE FOLLOW AND READ MORE
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
SHILOLE LAMENTS ON HARASSMENT AT KIGAMBONI BRIDGE, HER INSTAGRAM ACCOUNT POTRAYS THAT AS IT HAPPENED. TO KNOW HOW SHE WAS HARASSED AND MANY MORE FOLLOW AND READ MORE
Msanii wa Bongo Flava, Shilole amelalamika kupitia akaunti yake ya
Instagram kuwa amefanyiwa vitendo vya udhalilishaji katika kivuko cha
Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
Muimbaji huyo ameishia kulalamika tu na hakutaja hasa kitu gani amefanyiwa.
Muimbaji huyo ameishia kulalamika tu na hakutaja hasa kitu gani amefanyiwa.
“Uzalendo maana yake nini??
Je kuna thamani yoyote kuwa mtanzania??
Je jitihada zozote zinazofanywa na wasanii kuitambulisha nchi yao zinathaminiwa??
Jana nimetendewa kitendo cha ajabu katika kivuko cha kigamboni na kutendewa udhalili bila kujali kuwa mimi ni mwanajamii nayegusa maisha ya watu.
Muziki ni biashara, lakini pia tuna nafasi yetu katika kuisaidia jamii na kupeleka ujumbe muhimu.
Tusiheshimiwe tunapohitajika na kudharaulika tunapohitaji tuheshimiwe.
Nimeguswa…. Nimeumia.
Someone should act. @paulmakonda @paulmakonda”
ameandika Msanii huyo
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼
0 comments: