KOFFI OLOMIDE SENT OFF FROM KENYA FOLLOWING HIS MISBEHAVIOURS AS HE KICKED HIS DANCER. THIS HAS NOT ONLY DISGUISED HIS FANS BUT A BIG LOSS TO ALL STAKEHOLDERS OF THE SHOW HIS BAND HAD TO PERFOM.

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼




 
KOFFI OLOMIDE SENT OFF FROM KENYA FOLLOWING HIS MISBEHAVIOURS AS HE KICKED HIS DANCER. THIS HAS NOT ONLY DISGUISED HIS FANS BUT A BIG LOSS TO ALL STAKEHOLDERS OF THE SHOW HIS BAND HAD TO PERFOM.
 
Serikali ya Kenya mapema leo imechukua uamuzi wa kumtimua mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Koffi Olomide kufuatia tukio alilolifanya jana la kumpiga mnenguaji wake wa kike katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.

Taarifa za kuaminika kutoka jijini Nairobi zimeeleza kuwa Koffi Olomide alikamatwa na polisi jana majira ya saa nne usiku alipotoka kufanya mahojiano na Citizen TV.

Mwanasheria wa Koffi Ollomide, Prof George Wajackyah amesema kuwa tangu walipokamatwa jana usiku walitunzwa kama wanyama na kwamba Serikali ya Kenya imewatimua na kuwarudisha Congo hata bila kuwa na passport zao.

Alisema walitimuliwa kwa nguvu na kusindikizwa leo asubuhi hata bila kupewa nafasi ya kwenda mahakamani Jumatatu kama walivyokuwa wanatarajia.

Koffi Olomide alitua nchini humo jana akitarajia kufanya tamasha kubwa leo lakini limeota mabawa.

Jeshi la mitandao ya kijamii la Wakenya ambalo linatajwa kuwa na nguvu zaidi Afrika Mashariki hasa kupitia twitter kuanzia jana lilimshambulia vikali Koffi Olomide kwa hatua yake ya kumtwanga teke mnenguaji wake jijini Nairobi, katika tukio ambalo lilinaswa kwenye kamera.





KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 comments: