KOFFI OLOMIDE SENT OFF FROM KENYA FOLLOWING HIS MISBEHAVIOURS AS HE KICKED HIS DANCER. THIS HAS NOT ONLY DISGUISED HIS FANS BUT A BIG LOSS TO ALL STAKEHOLDERS OF THE SHOW HIS BAND HAD TO PERFOM.
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
KOFFI OLOMIDE SENT OFF FROM KENYA FOLLOWING HIS MISBEHAVIOURS AS HE
KICKED HIS DANCER. THIS HAS NOT ONLY DISGUISED HIS FANS BUT A BIG LOSS
TO ALL STAKEHOLDERS OF THE SHOW HIS BAND HAD TO PERFOM.
Serikali
ya Kenya mapema leo imechukua uamuzi wa kumtimua mwanamuziki kutoka
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Koffi Olomide kufuatia tukio
alilolifanya jana la kumpiga mnenguaji wake wa kike katika uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Taarifa
za kuaminika kutoka jijini Nairobi zimeeleza kuwa Koffi Olomide
alikamatwa na polisi jana majira ya saa nne usiku alipotoka kufanya
mahojiano na Citizen TV.
Mwanasheria
wa Koffi Ollomide, Prof George Wajackyah amesema kuwa tangu
walipokamatwa jana usiku walitunzwa kama wanyama na kwamba Serikali ya
Kenya imewatimua na kuwarudisha Congo hata bila kuwa na passport zao.
Alisema
walitimuliwa kwa nguvu na kusindikizwa leo asubuhi hata bila kupewa
nafasi ya kwenda mahakamani Jumatatu kama walivyokuwa wanatarajia.
Koffi Olomide alitua nchini humo jana akitarajia kufanya tamasha kubwa leo lakini limeota mabawa.
Jeshi
la mitandao ya kijamii la Wakenya ambalo linatajwa kuwa na nguvu zaidi
Afrika Mashariki hasa kupitia twitter kuanzia jana lilimshambulia vikali
Koffi Olomide kwa hatua yake ya kumtwanga teke mnenguaji wake jijini
Nairobi, katika tukio ambalo lilinaswa kwenye kamera.
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼
0 comments: