ZITTO: CONGRATS MAGUFULI FOR PART CHAIRMANSHIP, BUT LET MULTPART DEMOCRACY TAKE THE LEAD>>>>
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
Zitto zuberi kabwe is among politicians who sent regards to magufuli following his part chairmanship as from today 23 july 2016. he alse urges him to let multpart democras take the lead
Leo July 23 2016 Rais John Pombe Magufuli amekabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM
baada ya kupigiwa kura za ndio 2398 kutoka kwa wanachama wa chama
hicho ambapo hakuna kura hata moja ya hapana wala iliyoharibika
Baadhi ya
viongozi wakiwemo wa vyama vya upinzania walishiri akiwemo mwenyekiti wa
TLP Augustino Mrema, lakini wapo pia waliotamani kufikisha hisia zao
kuhusu tukio hilo na mmojawapo ni mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe
kupitia account yake ya facebook aliandika maneno haya…
>>>’Napenda
kumpongeza Rais John Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi wa
Chama chake cha CCM akiwa Mwenyekiti wa Tano chama hicho. CCM imeendelea
kudumisha utamaduni wa kukabidhiana Uongozi kila baada ya muda‘
‘Jambo ambalo ni la kujifunza hasa kwa vyama vya Siasa nchini na barani Afrika. Nataraji
kwamba Rais na Mwenyekiti mpya wa CCM ataona umuhimu wa Vyama vya Siasa
kuendelea kufanya Siasa bila vikwazo na kwa mujibu wa Sheria za Nchi
yetu.’ –Zitto Kabwe
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼
0 comments: